Halloween party ideas 2015

Kwa muda mrefu huduma ya upasuaji nchini Tanzania imekuwa ikitumia mbinu zinazo walazimu madaktari kumpasua mgonjwa katika baadhi ya maeneo ya mwilini kwa mjibu wa utalaamu wa kitabibu hali ambayo husababisha majeraha na maumivu ya eneo lililopasuliwa.Image result for Upasuaji usio na maumivu waanza Tanzania
Na sasa mfumo mpya wa upasuaji umeanza,ambapo hakuna ulazima wa kumpasua tena mgonjwa bali hupewa huduma hiyo kupitia vijitundu vidogo tofauti na mfumo wa zamani hali inayopunguza maumivu na maambukizi .Image result for Upasuaji usio na maumivu waanza Tanzania
Mwandishi wa BBC Halima Nyanza ameshuhudia aina hiyo mpya ya upasuaji na kutuandalia taarifa ifuatayo.Image result for Upasuaji usio na maumivu waanza Tanzania

Post a Comment

Powered by Blogger.