Halloween party ideas 2015

Voices team ilifanikiwa kufika mkoani Dodoma na kushirikiana na mamlaka ya maji safi na maji taka Dodoma (DUWASA) katika kukagua miundombinu ya maji na kufanya maraekebisho, ikiwa ni moja ya njia ya kutaua kero za wananchi wa Dodoma.

           CHEMBA IKIZIBULIWA BAADA YA KUZIBA KWA UCHAFU.


Wanakikundi wa Voices waliweza pia kutoa elimu kwa wafanyabiashara mbali mbali pamoja na wanfunzi ambao walikua pembezoni mwa miundo mbinu hiyo ambayo ilikua hatarishi kwa afya zao na hata usalama wao.

Post a Comment

Powered by Blogger.