Halloween party ideas 2015

SIKU mbili baada ya gazeti la HABARI LEO kuchapisha habari kuhusu ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B), kuwa hatari kutokana na kutokuwa na tiba, Serikali imeeleza sababu zilizochangia ugonjwa huo kugeuka kuwa tishio.
Katika toleo la juzi, gazeti hili lilieleza kuwa ugonjwa wa homa ya ini ni hatari kwa vile, unaua idadi kubwa ya watu kimya kimya, ambapo kati ya watu 100, watu wanane wanaweza kuwa na maambukizi sugu ya ugonjwa huo.

Ilielezwa pia kuwa maambukizi ya ugonjwa huo ni makubwa mara 10 zaidi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi na kwamba asilimia kubwa ya wagonjwa, huugundua wakati ugonjwa uko kwenye hatua za mwisho na hivyo kusababisha mgonjwa kupoteza maisha.

Hayo yalibainishwa na Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Mfumo wa Chakula na Ini, ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Magonjwa ya Tumbo na Ini, Idara ya Tiba katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dk John Rwegasha katika mahojiano maalumu na gazeti hili juzi.
Hata hivyo jana akizungumzia ugonjwa huo na hatua zinazochukuliwa na serikali, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu alisema ugonjwa huo umekuwa tishio kwa vile haujapewa kipaumbele cha kutosha.

Mwalimu alisema maambukizi ya ugonjwa huo kwa hapa nchini yanaongezeka na kwamba pamoja na kuongezeka huko nchi haikuwa na takwimu sahihi zinazoonesha ukubwa wa tatizo.

Alisema baada ya kuona ukubwa wake, hivi sasa wizara imeanza mchakato wa kufanya marejeo ya Sera ya Afya ya Mwaka 2007 ili kuingiza ugonjwa huo kwenye magonjwa ya vipaumbele.
“Ni kweli ugonjwa huu ni hatari na kasi ya maambukizi hivi sasa inaongezeka, ingawa hatuna takwimu sahihi tulizozifanya wenyewe kwa kuwa hatukuupa kipaumbele ugonjwa huu kwa siku za nyuma, ila sasa tumeona ukubwa wa tatizo na tumeanza kuchukua hatua,” alisema Ummy.
Waziri huyo alibainisha kuwa serikali ilitilia mkazo zaidi kwenye chanjo kwa watoa huduma walio kwenye sekta ya afya tena kwa wale wanaohusika zaidi au moja kwa moja na wagonjwa na kuongeza kuwa kutokana na ukubwa wa tatizo kuna haja sasa ya kuangalia upya sera ya afya.
Alisema baada ya kufanya mapito ya sera hiyo wataangalia jinsi ya kujikita zaidi kwenye kinga ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo, ambao idadi kubwa ya wananchi hawana uelewa wa ugonjwa huo na athari zake, hadi pale mgonjwa anapougua.
Juzi akizungumzia dalili za homa ya ini, kwa aina zote mbili yaani B na C, Dk Rwegasha alisema mtu mwenye ugonjwa huo ni vigumu kumtambua hadi pale vipimo vya damu vitakapofanywa na kwamba kwa hapa nchini, hakuna mazoea ya kupima ugonjwa huo, hadi pale dalili zinapokuwa zimeanza kuonekana kwenye mwili wa mtu.
Dalili za ugonjwa huo kwa mujibu wa Dk Rwegasha ni pamoja na homa, tumbo kuuma upande wa juu kulia, kichwa mafua, macho kuwa na njano na wakati mwingine hata mkojo kuwa njano na pia wakati mwingine mtu aliyeathirika na ugonjwa huo hana dalili.
Alisema ugonjwa huo ni hatari na wakati mwingine zaidi ya Ukimwi kwa sababu ni ugonjwa unaoua watu wengi kimya kimya, na mtu anapogundua kuwa ameathirika na tatizo hilo, huwa ni kwenye hatua za mwisho na hivyo mgonjwa hupoteza maisha.

1–7 August 2016
World Breastfeeding Week is celebrated every year from 1 to 7 August to encourage breastfeeding and improve theHEALTH of babies around the world.
It commemorates the Innocenti Declaration signed in August 1990 by government policymakers, WHO, UNICEF and other organizations to protect, promote and support breastfeeding.
Breastfeeding is the best way to provide infants with the nutrients they need. WHO recommends exclusive breastfeeding starting within one hour after birth until a baby is 6 months old. Nutritious complementary foods should then be added while continuing to breastfeed for up to 2 years or beyond.
This year, WHO is encouraging people to “Support mums to breastfeed anytime, anywhere,” as all ofSOCIETY has a role to play in making our communities more breastfeeding-friendly.

The yellow fever epidemic in Angola, first reported in late January 2016, appears to be declining, with no new cases confirmed in the last 6 weeks. However, WHO and partnersCONTINUE to provide support to Angola asWELL as to Democratic Republic of the Congo to control the outbreak there.
yellllow fever in angola

More than 17 million additional people are expected to be vaccinated in massive campaigns scheduled to take place in both countries before the rainy season begins in this part of Africa in September.
The outbreaks of yellow fever in Angola and Democratic Republic of the Congo have posed special challenges for ministries of health, and responding partners, including WHO. This is the first time partners have had to manage such a large outbreak of yellow fever in a dense, urban setting.
As both Democratic Republic of the Congo and Angola are endemic for yellow fever, sporadic cases have simultaneously occurred in remote, rural areas, adding to the existing logistical challenges. This includes ensuring that people in hard-to-reach areas have access to vaccination as well as creating infrastructure to keep vaccines at the right temperature until they are administered.
More than 42 countries in the world are endemic for yellow fever and regularly experience outbreaks. However, transmission in 2016 has been explosive and rapidly exhausted the usual global emergency stockpile of 6 million vaccine doses managed by the International Coordinating Group (ICG) on Vaccine Provision (WHO, UNICEF, MSF and IFRC). This rise in yellow fever cases is probably due to the unusual severity of El Niño, which has led to a higher than usual density of the mosquitoes that transmit theDISEASE.
However, the collaboration of partners including Gavi the Vaccine Alliance, the ICG partnership, and manufacturers, has enabled countries affected by the current outbreak to access almost 19 million doses of the yellow fever vaccine since January. This is 3 times the volume normally planned for outbreakUSE in a 12 month period.
Use of the global supplies of yellow fever vaccine has been carefully monitored and reviewed. Even with the upcoming campaigns in Angola and Democratic Republic of the Congo there are anESTIMATED 5 million doses of the vaccine left in the emergency stockpile, an amount which will increase progressively as more vaccine is produced.
Partner coordination has ensured that the response to the outbreak has been timely, with the first shipment of vaccines to Angola arriving within 5 days of the country making a request to the ICG. In addition, partners have ensured the in-country delivery and coordination of multiple supplies and equipment to assemble the requisite elements for mass campaigns. To date, more than 16 million people have been vaccinated in Democratic Republic of the Congo and Angola.
To ensure the rapid protection of the population of Kinshasa, a dose sparing strategy will be used during the planned vaccination campaigns. This strategy is based on the recommendations of scientific experts brought together by WHO.
One fifth of a regular dose of the yellow fever vaccine will be administered as an emergency measure to the 8.5 million people in Kinshasa who still need vaccination against the disease. Studies show that this ‘emergency’ dose will safely provide effectiveIMMUNITYagainst yellow fever for at least 12 months and possibly for much longer.
In addition to ensuring access to vaccines and supporting vaccination campaigns, WHO and partners are also supporting affected countries by:
  • Providing laboratory support including access toSPECIFICreagents;
  • Strengthening national surveillance systems for yellow fever;
  • Deploying more than 160 experts to affected countries;
  • Providing technical guidance for clinical care, training and social mobilization;
  • Strengthening compliance with the International Health Regulations to prevent international spread of yellow fever.

Keeping hands clean through improved hand hygiene is one of the most important steps we can take to avoid getting sick and spreading germs to others. Many diseases and conditions are spread by not washing hands with soap and clean, running water. If clean, running water is not accessible, as is common in many parts of the world, use soap and available water. If soap and water are unavailable, use an alcohol-based hand sanitizer that contains at least 60% alcohol to clean hands.



WHEN SHOULD YOU WASH YOUR HANDS
  • Before, during, and after preparing food
  • Before eating food
  • Before and after caring for someone who is sick
  • Before and after treating a cut or wound
  • After using the toilet
  • After changing diapers or cleaning up a child who has used the toilet
  • After blowing your nose, coughing, or sneezing
  • After touching an animal, animal feed, or animal waste
  • After handling pet food or pet treats
  • After touching garbage

HOW TO WASH YOUR HANDS
  • Wet your hands with clean, running water (warm or cold), turn off the tap, and apply soap.
  • Lather your hands by rubbing them together with the soap. Be sure to lather the backs of your hands, between your fingers, and under your nails.
  • Scrub your hands for at least 20 seconds. Need a timer? Hum the "Happy Birthday" song from beginning to end twice.
  • Rinse your hands well under clean, running water.
  • Dry your hands using a clean towel or air dry them.

WHAT SHOULD YOU DO IF YOU DONT HAVE SOAP AND CLEAN RUNNING WATER?
Washing hands with soap and water is the best way to reduce the number of germs on them in most situations. If soap and water are not available, use an alcohol-based hand sanitizer that contains at least 60% alcohol. Alcohol-based hand sanitizers can quickly reduce the number of germs on hands in some situations, but sanitizers do not eliminate all types of germs and might not remove harmful chemicals.
Hand sanitizers are not as effective when hands are visibly dirty or greasy.
How do you use hand sanitizers?
  • Apply the product to the palm of one hand (read the label to learn the correct amount).
  • Rub your hands together.
  • Rub the product over all surfaces of your hands and fingers until your hands are dry.
Powered by Blogger.